CHANGAMOTO ZETU MUCCoBS – DURA YA UTENDAJI WETU 2012 – 2013
Chuo chetu kina changamoto nyingi
·
Hosteli za ndani na nje kutokidhi viwango na bei
isiyoeleweka
·
Library kutotosheleza
·
Mikopo kwa wanafunzi kuchelewa na kuwekwa benki
kwa nyakati tofauti
·
Vitabulisho vya afya kuchelewa watu kutotambua
na kutosimamia haki yao ya huduma husika.
·
Kutokuwa na mkutano wa jumla (general Assembly)
·
Matokeo kutokupatikana kwa wakati na kwenye
mtandao
·
Partial progressive report kwa finalist
·
Mgawanyiko wa kimadarasa, kozi, usitugawe bali
uwe ni nguvu yetu.
·
Career Day – kuboresha, Ushiriki wa kozi zote.
·
Ongezeko la wanafunzi mwaka kulinganisha na
madarasa tuliyonayo
No comments:
Post a Comment