Friday, June 21, 2013

TATIZO LA AFYA MUCCOBS NALO PIA LAPATA SULUHU

Ili uweze kufanya shuguli yoyote afya ni kitu muhimu sana na ndicho kitu cha kwanza
Suala la kucheleweshewa vitambulisho vya BIMA YA AFYA na pengine kukosa kabisa
Mgombea Uraisi Fidelis Zacharia Aahadi kulishughulikia ipasavyo atakopukuwa kwa uongozi wake

Pia Amegusia pia masuala vyakula katika mazingira yetu tunapo pata huduma kuwa yataboreshwa zaidi
HAYO AMEAYASEMA PALE SEMINAR ROOM NO: 4 NA WANAFUNZI WA CED II


 FIDELIS ZACKARIA NDANI YA KAMPENI SEMINAR ROOM NO: 4
Na wanafunzi wa CED II

No comments:

Post a Comment