Sunday, July 14, 2013

ALNOD TARIMO NDIYE RAIS WA MUCSO KWA SASA

 
Idadi ya watu waliotarajiwa kupiga kura ilikuwa 3640 idadi ya waliopiga kura 2844 sawa na asilimia 78.1 idad ya kura zilizoharibika 66 sawa na asilimia 2.3 mollel kapata kura 1050 sawa na asilimia 36 ALNOD TARIMO  kura 1720 sawa na asilimia 78
TWENDE TUKAWAJIBIKE

No comments:

Post a Comment